
jingo hili kabla ya kushambuliwa na magaidi katika tukio linalojulikana kama September 11,lilikuwa likishikilia nafasi ya nne duniani.Hata hivyo baada ya shambulio hilo ,jingo lilikarabatiwa upya na kuwa na urefu wa mita 541 likishikilia nafasi ya saba.jengo hili lipo nchini marekani katika mji wa new York.Ni kituo cha kimataifa cha biashara.
No comments:
Post a Comment