kamati ya haki,maadili na madaraka ya bunge imetoa adhabu kali kwa wabunge wa upinzani ambao wanadaiwa kufanya fujo mapema mchana wa leo na kumlazimu naibu spika wa bunge kuahirisha kikao cha bunge hadi
| mwenyekiti wa kamati ya haki maadili na madaraka ya bunge mh George Mkuchika |
Wabunge waliopewa adhabu ni esther Bulaya na Tundu Lissu ambao wamesimamishwa kutohudhuria mikutano miwili,Zitto Kabwe na Halima Mdee hawatahudhuria vikao vya bunge hadi mwezi oktoba,Pauline Gekul,Godbless Lema wao hawatahudhuria vikao vya bajeti vilivyobaki.John Heche hatahudhuria vikao vikao kumi mfululizo kuanzia leo hii.
No comments:
Post a Comment